Baba yangu, Baba yangu, kikombe cha mateso nisinywe ukitaka,ukitaka.
Ninatoka jasho – Baba yangu, Baba yangu
Bustanini hapa – Baba yangu, Baba yangu
Ah, rafiki yangu – Baba yangu, Baba yangu
Wanibusu nini? – Baba yangu, Bab yangu
Kama mwivi mbaya – Baba yangu, Bab yangu
Nitafungwa Kamba– Baba yangu, Bab yangu
Wananipeleka – Baba yangu, Bab yangu
Barazani mwao– Baba yangu, Bab yangu
Uwahurumie– Baba yangu, Bab yangu
Wenye kunipiga– Baba yangu, Bab yangu
Mimi Mfalme wao– Baba yangu, Bab yangu
Nitatiwa miiba– Baba yangu, Bab yangu
Nitahukumiwa– Baba yangu, Bab yangu
Bila kosa langu– Baba yangu, Bab yangu
Watanibebesha– Baba yangu, Bab yangu
Dhambi zao zote– Baba yangu, Bab yangu
Nitasulibiwa– Baba yangu, Bab yangu
Kwa ajili yao– Baba yangu, Bab yangu
Kati ya waouv– Baba yangu, Bab yangu
Ni mahali pangu– Baba yangu, Bab yangu
Comments