Kwa kutukomboa- Asante, asante Kutuweka huru- Asante, asante
2. Mkate na divai twaleta twakuomba sana pokea
Ndiyo kazi yetu wanao twakuomba sana pokea
3. Mazao ya mashamba twaleta twakuomba sana pokea Hata ni kidogo twaleta twakuomba sana pokea
4. Nazo fedha zetu twaleta twakuomba sana pokea Utupe baraka twaleta twakuomba sana pokea
Comments