Baba tunaleta x3 yote ni mali yako, Baba tunaleta yote mali yako x2
1. Baba tunaleta pumzi zetu mali yako.
2. Baba tunaleta vijana mali yako.
3. Baba tunaleta uhai mali yako.
4. Baba tunaleta wazazi wetu mali yako.
5. Baba tunaleta Mapadri wetu mali yako.
6. Baba tunaleta watoto wetu mali yako.
7. Baba tunaleta waimbaji mali yako.
8. Masista………..
9. Na nchi…………..
10. Kanisa………….
Comentários