Baba mikononi mwako, naiweka roho yangu.
1. Baba, uwasamehe, kwani hawajui wanalofanya.
2. Nakuambia kwa hakika, leo utakuwa pamoja nami paradisini.
3. Mama tazama huyo ndiye mwanao, tazama huyo Ndiye mama yako.
4. Ili andiko litimizwe Yesu alisema, naona kiu.
5. Baada ya kupokea siki alisema, yametimia.
6. Mungu wangu Mungu wangu, mbona umeniacha.
7. Baba mikononi mwako, naiweka roho yangu.
Comments