Baba asante sina cha kulipa wewe Baba, kwa wema wako uliotujalia x2
Umenipa uhai, umenipa uzima tele, (nimetoa dhabibu na nimetoa sadaka, siwezi, kulinganisha na wema wako Bwana)x2
Umenipa mavuno umenijalia mali nyingi ( nimetoa vipaji na matoleo na fedha, siwezi, kulinganisha na wema wako Bwana) x2
Umenipa talanta ya kukuimbia kanisani (nakusifu kwa nyimbo na kwa kayamba na ngoma, siwezi, kulinganizha na wema wako Bwana) x2.
Comments