Ati, kuna mvua njema yenye neema;
Watu wanaona vyema Bwana, huninyeshei?
Na mimi? Na mimi? Bwana, huninyeshei?
Sinipite, Baba mwema; dhambini nimezama:
Rehema ni za daima; Bwana hunionyeshi?
Sinipite, Yesu mwema; niwe nawe daima,
Natamani kukwandama: Bwana, hunichukui?
Sinipite, Roho mwema, Mpaji wa uzima,
Nawe shahidi wa wema, Bwana wema hunipi?
Comments