top of page

Ati Kuna Mvua Njema

Ati, kuna mvua njema yenye neema;

Watu wanaona vyema Bwana, huninyeshei?


Na mimi? Na mimi? Bwana, huninyeshei?


Sinipite, Baba mwema; dhambini nimezama:

Rehema ni za daima; Bwana hunionyeshi?


Sinipite, Yesu mwema; niwe nawe daima,

Natamani kukwandama: Bwana, hunichukui?


Sinipite, Roho mwema, Mpaji wa uzima,

Nawe shahidi wa wema, Bwana wema hunipi?

16 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page