ASUBUHI NA MAPEMA
Asubuhi na mapema ndege humwimbia Mungu (nao) wanyama wanacheza cheza wadudu wana rukaruka (nasi) tumsifu Mungu wetu aliyeumba vyote, ni kwa nini tusiimbe na kucheza cheza x2
Tumepewa sauti nzuri za kupendeza, tunasali mara mbili kwa njia ya nyimbo.
Tufurahini sisi sote katika Bwana, wema wake Bwana Mungu hauna kifani.
Ametulinda usiku wa giza tororo, asubuhi na mchana Mungu atukuzwe
Nitamhimidi Bwana wangu kila wakati, sifa zikinyawani mwangu daima.
Comments