Astahili enzi utajiri na heshima Milele milele milele milele astahili enzi utajiri na heshima Milele milele milele milele
Mwanakondoo aliyechinjwa astahili kupokea enzi na utajiri
Na hekima na nguvu na heshima utukufu kwake pamoja na enzi daima na milele
Ee Mungu umpe mfalme hukumu yako umpe mwana wa mfalme na haki yako
Atawahukumu walioonewa na watu atawaokoa wahitaji, hatamtesa mwenye kuonewa
Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu kama mwanzo na sasa na siku zote, na milele amina
Comments