Kilindi cha Moyo wangu kimejaa maneno ya kushukuru Ashukuriwe mwenyezi anayeketi katika patakatifu Usiku mchana mwanzo wa mwaka mpaka mwisho wake Ni mungu aketiye juu anayenilinda Midomo yangu itaimba maneno ya kushukuru Asante nakushukuru Bwana wa mbingu
Anayewalisha ndege wa angani ndiye anayeshusha neema (anashusha) Kwa viumbe vyote
Jua na mwezi nazo nyota za angani ndiye aliziratibisha (akanipa) zawadi ya maisha
Comments