Asante Bwana Yesu kwa mema yako yote; uliyojujalia Bwana tunakushukuru x2.
Mwili ni damu yako – Bwana tunakushukuru, ni chakula bora… ni kinywa bora…
Kwa mapendo yako… uliyotupenda … yasiyo mipaka…
Afya njema kweli… umetujalia … magonjwa ee Baba – umetuepusha.
Ajali njiani – Bwana umetukinga umetuepusha – Bwana tunakushukuru Baba tunasema – asante sana Bwana.
Atukuzwe Mwana – milele na milele atukuzwe Mwana – milele na milele pamoja na Roho – siku zote amina.
Comments