Asante Bwana Yesu, kwa mema yako (yote) (x2) ulitoyujalia, Asante, kwa mema yako (yote) (x2), uliyotujalia.
Umetulisha umetunywesha, twashukuru,
Mema ya mbingu tumeyapata, twashukuru,
Mwana wa Mungu u kati yetu, twashukuru,
Kwa vitu vyote ulivyotupa, twashukuru,
Msamaha wako umetujia, twashukuru,
Asante sana kwa mema yote, twashukuru,
Comments