Asante twashukuru, asante twashukuru, asante twashukuru, Baba kwa mapaji yako
Neno lako tumepata, funzo lako tumelipata hayo yote Baba twasema asante.
Mwili wako umetulisha, damu yako umetunywesha, hayo yote Baba twasema asante.
Mwili wako chakula bora, damu yako kinywaji safi, hayo yote Baba twasema asante.
Atukuzwe Baba na Mwana, naye Roho Mtakatifu, kama mwanzo na siku zote amina.
Comments