1. Umetulisha kwa Mwili wako (Bwana) twashukuru.x2
Asante Baba kwa mema yote uliyotujalia.x2
2. Umetunywesha kwa Damu yako (Bwana) twashukuru.x2
3.Umetulinda kwa wiki nzima (Bwana) twashukuru.x2
4. Umetukinga kwa ajali zote (Bwana) twashukuru.x2
5. Asante Baba kwa mema yote (Bwana) twashukuru.x2
Comentarios