top of page

Anipenda ni kweli

Anipenda ni kweli: Mungu anena hili;

Sisi wake watoto kutulinda si zito.


Yesu Mwokozi ananipenda;

Kweli hupenda, Mungu amesema.


Kwa kupenda akafa niokoke na kufa:

Atazisafi taka sana ataniweka.


Anipenda kabisa; niuguapo sasa,

Anitunza mbinguni niliyelala chini.


[4]

Kunipenda haachi tu sote hapa chini,

Baada ya mashaka kwake tanipeleka

5 views0 comments

コメント

5つ星のうち0と評価されています。
まだ評価がありません

評価を追加
bottom of page