Anipenda ni kweli: Mungu anena hili;
Sisi wake watoto kutulinda si zito.
Yesu Mwokozi ananipenda;
Kweli hupenda, Mungu amesema.
Kwa kupenda akafa niokoke na kufa:
Atazisafi taka sana ataniweka.
Anipenda kabisa; niuguapo sasa,
Anitunza mbinguni niliyelala chini.
[4]
Kunipenda haachi tu sote hapa chini,
Baada ya mashaka kwake tanipeleka
コメント