Anakuja mwenye enzi Bwana mfalme Wanadamu kutukomboa Anakuja kututoa utumwani Wanadamu kutukomboa (Bwana mfalme, anakuja kwetu Anakuja anakuja anakuja kwetu) x2
Anakuja andaeni njia yake Tayarisha mapito yake Nasi kweli tukamlaki ndiye mkuu Ni mwanga wetu duniani
Anakuja kwa ajili yetu sisi Anatuletea wokovu Ni masiha hivyo nasi tumngojee Tumaini la wanadamu
Comments