top of page

  1. Hufanani nasi, unang'ara na tena una enzi, una utukufu, Umepita zote, sifa tunazokutolea sisi, nao malaika oooh!

  2. Walikuimbia, baba zetu lakini hazikwisha, sifa zako wewe, Na watakatifu, wanaimba na hazimaliziki, tenzi hazitoshi ooh!

  3. Mimea ya nchi, yaeleza inapopukutika, kuhifadhi maji, Kwamba wewe Bwana, hupungui unajua kuumba, hupitiwi neno ooh!

  4. Kinyonga mdogo, anageuka rangi kujilinda, bila ya bunduki, Anafafanua, umakini ndani ya kazi yako, isiyo dosari oho

9 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page