Ee Mungu Mungu wangu (moyo) Moyo wangu u thabiti (thabiti) Nitaimba nitaimba, nitaimba zaburi (Amka kinanda ewe kinanda - amka ewe kinanda, Amka kinubi ewe kinubi
Amka ewe kinubi, Nitaamka alfajiri nitamuimbia Bwana) x2
1. Ee Mungu nitakushukuru kati ya watu, Nitakuimbia zaburi kati ya mataifa
2. Kwa maana fadhili zako ni za milele, Na uaminifu wako hata juu mawinguni
3. Ee Mungu utukuzwe juu ya mbingu yote, Na juu ya nchi yote uwe utukufu wako
Comentários