Amin, amin, nawaambia, ninawaambia Amin, amin, mmoja wenu, atanisaliti Nitampiga mchungaji wa kondoo oo Na kondoo wa kundi lake watatawanyika*2
Mwana wa Adamu aenda zake, ilivyoandikwa Ole ni wake mtu yule, amsalitiye Ole wangu, ole wako, umsalitiye Bwana Ingekuwa heri kwetu tusingelizaliwa *2
Twaeni mle mwili wangu, uwe ukumbusho Twaeni mnywe damu yangu, iwe ukumbusho Nitampiga mchungaji wa kondoo oo Na kondoo wa kundi lake watatawanyika*2
Amini, amini na kutubu, enyi mataifa Amini, amini na kutubu, turudi kwa Bwana Ole wangu, ole wako, umsalitiye Bwana Ingekuwa heri kwetu tusingelizaliwa *2
top of page
bottom of page
コメント