top of page

Bwana Ameitika



  1. Neema amenipa Baraka anashusha maombi na sala zangu zimemfikia na leo

  2. Mungu nilimuita usiku na mchana, kwa imani niliamini atajibu na leo

  3. Nilimpelekea malalamiko yangu masononeko yangu yamemfikia na leo

  4. Watu walinisema kwa maneno mabaya, nikamuomba Mungu awasamehe na leo

Sitaacha kumuita Bwana amesikia sauti sitachoka kumuomba Mungu ameyajibu maombi x2

5 views0 comments

Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating
bottom of page