Neema amenipa Baraka anashusha maombi na sala zangu zimemfikia na leo
Mungu nilimuita usiku na mchana, kwa imani niliamini atajibu na leo
Nilimpelekea malalamiko yangu masononeko yangu yamemfikia na leo
Watu walinisema kwa maneno mabaya, nikamuomba Mungu awasamehe na leo
Sitaacha kumuita Bwana amesikia sauti sitachoka kumuomba Mungu ameyajibu maombi x2
Comments