Aliyemsaliti Bwana ( hukumiwa) ndiye Yuda (ndiye Yuda ) hukumuni ole wako
Wamsulubisha Yesu msalabani, wampiga mijeledi, Petero sitakuacha Bwana Yesu ee Bwana usiniache (kweli)
Alifufuka kwa tetemeko, Malaika walimshukia, amefufuka, na imekwisha, shangilieni, tumwimbie Bwana.
Kulikuwa na giza kweli, ( amefariki ) ndiye Yesu (ndiye Yesu) Bwana wangu waniacha, kulikuwa na giza la kutisha, taji miiba kichwani, kama ilivyoandikwa imekwisha, alimaliza yote ( kweli)
Kwa imani ya wanadamu, (atarudi), ndiye Bwana (ndiye Bwana), ameketi kwake Baba, anatutengenezea pa kuishi, tutafurahi pamoja, maisha ya Kristu ya pendeza kweli tumshangili Yesu (kweli).
Comments