top of page

Aleluya Mshukuruni Bwana


|s| { Alelu-uya alelu-uya alelu-u-uya amen |a| Alelu-ya, amen, alelu- alelu-ya amen |b| Aleluya, aleluya, aleluya a-amen Alelu-u-uya amen |t| Aleluya, amen, alelu-u-uya amen }* 2

  1. Aleluya mshukuruni Bwana, Aleluya liitieni jina lake

  2. Wajulisheni watu matendo yake, Mwimbieni Bwana mwimbieni kwa zaburi

  3. Jisifuni kwa jina, jina lake takatifu, Utafuteni uso, uso wake siku zote < h i t i m i s h o > Zikumbukeni ajabu zake Bwana Zikumbukeni ajabu zake alizofanya Kumbukeni miujiza na hukumu zake – Miujiza na hukumu za ki-nywa chake Aleluya amen *5

0 views0 comments

Kommentare

Mit 0 von 5 Sternen bewertet.
Noch keine Ratings

Rating hinzufügen
bottom of page